Saturday, March 10, 2012
MACHO YETU YAMTAZAME BWANA KWA AJILI YA TANZANIA
Wapendwa tunaishi katika kipindi chenye hofu nyingi.Hivi karibuni nchi yetu imeingia katika aina mbalimbali za migomo. Lililo zito zaidi ni mgomo wa madaktari.Yanasemwa mengi.Hatujui undani zaidi wa jambo hili.Serikali ina maelezo yake na madaktari wana maelezo yao.Sisi raia wa kawaida kwetu ni kitendawili kwa sababu kila upande unatushawishi kukubali maelezo yao. Ushauri wangu kwa kila mtu mwenye hofu ya Mungu ni huu;tuwapeleke madaktari na serikali madhabahuni pa Mungu atuamulie.Macho yetu yamtazame Bwana katika hili.Mbarikiwe.Mungu ibariki Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Amina baba mhungaji. MUNGU mwenye nguvu azidi kukuwezesha na kukuinua siku hadi siku. Nabarikiwa sana na wewe mtumishi.
ReplyDeleteAsante sana Tamilwai kwa kupitia moyo. Mungu akubariki sana na endelea kuniombea kwa uaminifu
ReplyDelete