Saturday, March 10, 2012

MACHO YETU YAMTAZAME BWANA KWA AJILI YA TANZANIA

Wapendwa tunaishi katika kipindi chenye hofu nyingi.Hivi karibuni nchi yetu imeingia katika aina mbalimbali za migomo. Lililo zito zaidi ni mgomo wa madaktari.Yanasemwa mengi.Hatujui undani zaidi wa jambo hili.Serikali ina maelezo yake na madaktari wana maelezo yao.Sisi raia wa kawaida kwetu ni kitendawili kwa sababu kila upande unatushawishi kukubali maelezo yao. Ushauri wangu kwa kila mtu mwenye hofu ya Mungu ni huu;tuwapeleke madaktari na serikali madhabahuni pa Mungu atuamulie.Macho yetu yamtazame Bwana katika hili.Mbarikiwe.Mungu ibariki Tanzania.

DON'T STOP WHAT YOU WANT TO DO

At this moment,in every part of the world,there are those who wonder what they can do to get futher along toward some shining goal,and to their own self-improvement.Many will snatch a secret from the depths of their hearts and souls that will drive them on to high achievement.But most of them will continue to wonder,dream,,and wish. Then,one day,they will awaken with shock to find themselves standing in the same spot from which they dreamed as young men. Only, they have lost their dreams and they wonder why. Do it now before it is dark.You can change your past today. Start walking by faith.God bless you.